JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI

⁠Mapitio ya maamuzi mamlaka

Baraza lina Mamlaka ya kupitia maamuzi yaliyotolewa na Mamlaka kuhusiana na masoko ya mitaji kwa lengo la kuhakikisha maamuzi hayo yanazingatia sheria na hayapo kinyume na haki za washikiri wa masoko