JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI

NYARAKA ZA RUFAA

NYARAKA MUHIMU

NYARAKA MUHIMU ZITAKAZO AMBATISHWA KWENYE RUFAA

Mtu anayekata rufaa kwa Baraza ataambatisha nyaraka zifuatazo:
  1. Nakala iliyothibitishwa ya uamuzi wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana.  
  2. Nakala ya taarifa ya nia ya kukata rufaa.  
  3. Maelezo ya rufaa.  
  4. Nyaraka nyingine muhimu ambazo mkata rufaa anaweza kuziona zinahitajika kwa ajili ya maamuzi sahihi ya rufaa hiyo.  
  5. Ushahidi wa malipo ya ada husika.