Kanusho
Hakuna madai yatakayotolewa kuhusu usahihi au uhalali wa maudhui ya tovuti hii. Baraza la Masoko ya Mitaji haitakubali dhima yoyote kwa mtu yeyoye kwa taarifa au ushauri unaotolewa kwenye tovuti hii au kushirikishwa kwenye tovuti hii kwa marejeo.
Taarifa iliyomo kwenye tovuti ya Baraza la Masoko ya Mitaji haipaswi kuonyeshwa isipokuwa katika mfumo kamili wa sklini.
Baraza la Masoko ya Mitaji inaweza kuwaunganisha na wavuti za tovuti za nje zilizo za serikali au zisizo za serikali (Tovuti za mtumiaji watatu) isipokuwa pale itakapoelekezwa vinginevyo;
- Haishirikishwi au kuhusishwa na mmiliki au mwendeshaji wa tovuti ya mtumiaji wa tatu; na
- Kama una maswali yoyote kuhusu maudhui yaliyomo kwenye tovuti ya Mamlaka, tafadhali wasiliana nasi: registrar@cmt.go.tz Au piga namba +255 22 2114959/61