Utekelezaji wa kanuni
Baraza ikiwa ni taasisi inayojitegemea, lina jukumu la kusimamia utekelezaji wa sheria za masoko kwa kutoa adhabu kwa wadau ambao wamevunja taratibu za masoko kupitia maamuzi ya Baraza. Baraza lina mamlaka kamili ya Mahakama Kuu katika utekelezaji wa majukumu yake