JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI

Usuluhisho wa migogoro

Baraza likiwa kama taasisi inayojitegemea kwa ajili kusikiliza rufaa zinazotokana na migogoro kati ya washiriki wa masoko, wawekezaji, na Mamlaka katika masuala yote ya masoko ya mitaji na dhamana