+255738785651 info@cmt.go.tz

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI

CMT Logo
Je, nani analiongoza Baraza la Masoko ya Mitaji?

Mwenyekiti: Jaji wa Mahakama Kuu aliyepo madarakani, ambaye huteuliwa na Rais.

Wajumbe Wanne: Wataalamu wa Sheria na Fedha, wanaoteuliwa na Waziri wa Fedha.

Msajili: Katibu wa Baraza, anayehifadhi kumbukumbu na kusimamia shughuli za kila siku.