+255738785651 info@cmt.go.tz

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI

CMT Logo
Je, maamuzi ya Baraza la Masoko ya Mitaji yanatekelezeka?

Ndiyo. Baada ya Baraza la Masoko ya Mitaji kutoa maamuzi, yanaweza kubadilishwa kuwa amri rasmi, iliyotiwa saini na Mwenyekiti au Msajili, na kutekelezwa kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Mashauri ya Madai (Sura ya 33).