+255738785651 info@cmt.go.tz

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA FEDHA

BARAZA LA MASOKO YA MITAJI

CMT Logo
Je, maamuzi ya Baraza la Masoko ya Mitaji yanaweza kukatiwa rufaa?

Ndiyo. Maamuzi yanayotolewa na Baraza la Masoko ya Mitaji (CMT) yanaweza kukatiwa rufaa kwenda Mahakama ya Rufani Tanzania lakini kwa hoja za kisheria pekee si kwa masuala ya uthabiti wa kesi.